RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Ifakara, Ulanga, Mlimba na Malinyi kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa CCM Ifakara, Kilombero Mkoani Morogoro tarehe 05 Agosti, 2024.

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC

Soma zaidi »

Rais Samia Suluhu Ifakara

Katika hotuba yake, Rais Samia aliwashukuru wananchi wa Ifakara kwa mapokezi mazuri na kueleza kuwa serikali yake imejipanga kuendelea kuboresha huduma za msingi kama vile elimu, afya, na miundombinu. Aliwaeleza kuwa miradi mikubwa kama Kituo cha Kupoza Umeme Ifakara na reli ya SGR ni sehemu ya mkakati wa serikali katika …

Soma zaidi »

Ziara Ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Kilombero, Morogoro

Wananchi wa Ifakara wajitokeza kwa wingi kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Ifakara, wilayani Kilombero, mkoani Morogoro. Ziara hii ilikuwa ni sehemu ya mikutano ya Rais Samia na wananchi, ambapo alifika kuzungumza na wananchi …

Soma zaidi »

Uzinduzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mtibwa, Rais Samia Aimarisha Sekta ya Kilimo na Uzalishaji wa Sukari Nchini

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba na umwagiliaji katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, tarehe 03 Agosti, 2024. Uzinduzi …

Soma zaidi »

WANANCHI WILAYANI KILOSA WAISHUKURU SERIKALI KWA UJENZI WA DARAJA LA BEREGA

Wananchi wa Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wameonyesha shukrani zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuzindua Daraja la Berega. Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 02 Agosti, 2024, katika ziara ya kikazi ya Rais Samia mkoani Morogoro. Daraja hili muhimu limekuwa ni …

Soma zaidi »

Mtalii Raia wa Sweden Avutiwa na Ubora wa Treni ya Kisasa ya SGR Nchini Tanzania

“Ni treni ya kisasa kabisa na tunajisikia vizuri (‘comfortable’) kutumia aina hii ya usafiri. Ina mwendo wa kasi iko ‘comfortable’ na ina huduma nzuri wakati wa safari. Kitu kizuri na cha kufurahisha zaidi, ni treni nzuri zaidi kuzidi hata zile za kwetu nyumbani Ulaya ( Sweden) treni hii ni nzuri …

Soma zaidi »