RAIS DKT. MAGUFULI

RAIS MAGUFULI ABADILISHA AHADI KUWA VITENDO NDANI YA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE

Na,ZYNABU ABDULMASOUDI, DODOMA. Kuna usemi wa Kiswahili unaosema ahadi ni deni,ukimaanisha kuwa unapoweka ahadi huna budi kuitimiza. Ahadi iliyowekwa na Rais Dk.John Magufuli wakati wa kampeni zake za kugombea Urais miaka mitano iliyopita ikiwemo ya kutoa elimu bila ya malipo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza hadi kidato cha nne …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI ATAJA SABABU ZA KUOMBA TENA KUGOMBEA URAIS

Rais Dkt. John Magufuli amesema kuwa suala lililomfanya kuchukua fomu ya kugombea muhula wa pili ni kuendelea kuwatumikia watanzania kwa kuendelea na kazi aliyoianza. Rais Magufuli amesema hayo wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Ofisi za CCM makao Makuu mjini Dodoma mara baada ya kutoka kuchukua …

Soma zaidi »

BALOZI WRIGHT – MAREKANI INAIONA TANZANIA NI NCHI IMARA, TULIVU NA YENYE DEMOKRASIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 02 Agosti, 2020 amepokea Hati za Utambulisho za Mabalozi 2 walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa Tanzania. Balozi wa Marekani hapa nchini Donald John Wright akiwa amesimama wakati nyimbo za Mataifa mawili ya Tanzania na Marekani zilipokuwa zikipigwa na …

Soma zaidi »

RAIS DKT. MAGUFULI AKIPITA KWENYE DARAJA LA MKAPA RUFIJI MKOANI PWANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani Pwani wakati akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai 2020. Daraja hilo linalounganisha Pwani …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA RELI YA KATI (SGR) SEHEMU YA DAR ES SALAAM – MOROGORO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na viongozi mbalimbali pamoja na Wafanyakazi wa Shirika la Reli nchiniTRC kabla ya kuondoka katika stesheni hiyo ya Soga mkoani Pwani. Rais Dkt. John Magufuli tarehe 28 Juni, 2020 amekagua maendeleo ya ujenzi wa reli …

Soma zaidi »

MCHIMBAJI ALIYEPATA MADINI YA TANZANITE YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 7.8 AMPONGEZWA NA RAIS MAGUFULI

Mchimbaji Bw. Saniniu Laizer (kushoto) akiwa amebeba madini ya Tanzanite amabyo yana jumla ya kilo 15 ambapo jiwe moja lina kilo 9. 2 la thamani ya bilioni 4.5 na lingine kilo 5.8 lenye thamani ya shilingi ya bilioni 3.3 wakati wa tukio la kuuza madini hayo kwa Serikali Naibu Waziri …

Soma zaidi »