Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
SERIKALI IMEONESHA JITIHADA KUBWA KATIKA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU..
NEMC YAKABIDHI CHETI CHA MAZINGIRA UJENZI WA KITUO CHA ELIMU YA UDHIBITI WA MATUMIZI YA ZEBAKI-GEITA
NEMC YATOA WITO KWA TAASISI ZA SERIKALI NA BINAFSI KUFANYA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 23, 2024 ni mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Wiki Maadhimisho ya Wiki ya Sekta Binafsi inayofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam.
Falsafa hizi nne (4R) zinalenga kuimarisha umoja, kuleta ustawi na maendeleo ya kudumu kwa taifa, na kuhakikisha kuwa serikali inawajibika kwa wananchi wake
#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi
Soma zaidi »WITO WA RAIS SAMIA KWA MACHIFU, KUIGA UONGOZI WA CHIFU HANGAYA KWA MAENDELEO YA JAMII
Rais Samia anaonyesha imani na matumaini yake kwa machifu, akiamini kwamba wana uwezo wa kuongoza vyema maeneo yao. Hii inaashiria heshima na kuthamini mchango wa machifu katika jamii. Rais anamtaja Chifu Hangaya kama kielelezo cha uongozi bora. Hii inaonyesha kwamba Chifu Hangaya ana sifa na mafanikio ambayo machifu wengine wanapaswa …
Soma zaidi »WAZIRI JAFO AIAGA NEMC, AISHUKURU KWA USHIRIKIANO ILIOMPATIA
UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA UTALII
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeunga mkono agenda za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika rasilimali watu kwenye elimu na ujuzi pamoja na agenda ya usalama wa maeneo ya utalii lengo likiwa ni kuibadilisha Afrika kwa siku zijazo kupitia ujuzi wa elimu na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+