RAIS WA ZANZIBAR DKT HUSSEIN ALI MWINYI AONGOZA WANANCHI KUUPOKEA NA KUUAGA MWILI WA HAYATI DKT JOHN MAGUFULI MJINI UNGUJA LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali
Mwinyi akiongoza mapokezi ya mwili wa alieykuwa Rais wa Tanzania Dkt.
John Pombe Joseph Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume kabla baadaye kwenda kutoa heshima za mwisho katika
Uwanja wa Amaan mjini Unguja leo Machi 23, 2021

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *